Ahmed Ally Arusha Dongo Yanga: Msipotangaza Uwanja wa Mechi, Bodi ya Ligi Itatangaza

 


Msemaji wa klabu ya Simba Ahmed ally kupitia ukurasa wake wa instragram ameandika


“Msipotangaza Uwanja wa mechi, Bodi ya Ligi itatangaza


Msipotangaza Viingilio, Bodi ya Ligi itatangaza na sisi tutanunua


Msipofanya Promotions, Azam Tv watafanya na wameshaaanza kufanya


Msipokodi Uwanja, Bodi ya Ligi itakodi na ila Gharama za Uwanja mtalipa nyie.


Kanuni zinaipa nguvu bodi ya Ligi kufanya yote hata kama mwenyeji wa mechi anadema demaa


Mashabiki wenu wakisusa, wetu watakuja na tayari Mashabiki wetu zaidi ya Elfu 10 walishanunua Tiketi


Wanetu mmekalia moto… !!!”

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad