Wachezaji Henock Inonga na Kibu Denis Wapigwa Faini Kisa Ushangiliaji Mbaya Simba na Yanga

Wachezaji Henock Inonga na Kibu Denis Wapigwa Faini Kisa Ushangiliaji Mbaya Simba na Yanga


Mlinzi wa Klabu ya Simba Henock Inonga na mshambuliaji wa klabu hiyo Kibu Denis wametozwa faini Laki Tano kwa makosa kwenye ushangiliaji kwenye mechi ya derby dhidi ya Yanga ,mechi waliyofungwa magoli 5-1 .

Kibu alishangilia kwa kuwaziba mdomo mashabiki wa Yanga,Inonga alishangilia mbele ya benchi la Yanga

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.