DEAL DONE :Mkataba uliopo mezani kwa Romuald Rakotondrabe kutoka Yanga ni Miaka miwili




DEAL DONE :Mkataba uliopo mezani kwa Romuald Rakotondrabe kutoka Yanga SC ni Miaka miwili

Pia uongozi wa Yanga SC upo tayari kufuata taratibu kumalizana na Madagascar wenye mkataba wa miaka miwili na kocha huyo

Kwa mujibu wa chanzo Jumatano kocha anapaswa kuwepo Tanzania

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad