Shafih Dauda "Simba wamesajili lakini hawaamini baadhi ya Wachezaji wao"

Shafih Dauda "Simba wamesajili lakini hawaamini baadhi ya Wachezaji wao"

Shafih Dauda "Simba wamesajili lakini hawaamini baadhi ya Wachezaji wao"


Simba wamesajili lakini hawaamini baadhi ya Wachezaji wao , mwanzoni Moses Phiri hakuanza alivyopata nafasi akafunga magoli ya kutosha bahati mbaya akaumia, Dirisha dogo akaja Baleke na yeye hakupata nafasi alivyopata nafasi akafunga akajihakiikishia nafasi .

Ni fikra kwamba ukicheza vizuri lazima mchezo unaokuja ucheze wanatakiwa kucheza kwa mpango kazi , wakati mwingine uswahili hizi timu unachukua nafasi sana mfano Aish na Beno .

Mara nyingi Aish akipata matatizo Beno anacheza na hajawahi kuonekana ni Kipa wa akiba , huna sababu ya kulitetea benchi la ufundi la Simba una Makipa wawili wote ni wa timu ya Taifa.

Swali, Benchi la ufundi kwanini hawamchezeshi Beno ?


#DIGALA


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.