Timu za Ghana na Misri Zafuzu Kucheza Kombe la Dunia 2026

Timu za Ghana na Misri Zafuzu Kucheza Kombe la Dunia 2026


TIMU ya Taifa ya Ghana ‘The Black Stars’ imekata tiketi ya kushiriki kombe la Dunia la FIFA 2026 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Comoros kwenye mchezo wa Kundi I huku Misri ikifuzu kombe la Dunia kwa mara ya kwanza tangu 2018 ikimalizika kileleni mwa Kundi A alama 26 baada ya mechi 10.


𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: #WCQ2026

Misri 🇪🇬 1-0 🇬🇼 Guinea Bissau

Mali 🇲🇱 4-1 🇲🇬 Madagascar

Ghana 🇬🇭 1-0 🇰🇲 Comoros

Burkina Faso 🇧🇫 3-1 🇪🇹 Ethiopia

Djibouti 🇩🇯 1-2 🇸🇱 Sierra Leone

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad