Azam FC Yafuzu Makundi CAF Kwa Mara ya Kwanza


HISTORIA imeandikwa, Azam FC imefuzu hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kwa mara ya kwanza tangu klabu hiyo kuanzishwa miaka 21 iliyopita kufuatia ushindi wa jumla wa 9-0 dhidi ya KMKM Fc kwenye hatua ya pili ya CAFCC.  Azam Fc ilishinda 2-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza kabla ya kushinda 7-0 kwenye marudiano katika dimba la Azam Complex, Chamazi na kuandika historia hiyo.  FT Azam FC 🇹🇿 7-0 🇹🇿 KMKM FC (Agg. 9-0) ⚽️ 23' Idd Nado ⚽️ 27' Kitambala ⚽️ 30' Kitambala ⚽️ 43' Idd Nado ⚽️ 49' Msindo ⚽️ 53' Abdul Sopu ⚽️ 57' Abdul Sopu


HISTORIA imeandikwa, Azam FC imefuzu hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) kwa mara ya kwanza tangu klabu hiyo kuanzishwa miaka 21 iliyopita kufuatia ushindi wa jumla wa 9-0 dhidi ya KMKM Fc kwenye hatua ya pili ya CAFCC.

Azam Fc ilishinda 2-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza kabla ya kushinda 7-0 kwenye marudiano katika dimba la Azam Complex, Chamazi na kuandika historia hiyo.

FT Azam FC 🇹🇿 7-0 🇹🇿 KMKM FC (Agg. 9-0)
⚽️ 23' Idd Nado
⚽️ 27' Kitambala
⚽️ 30' Kitambala
⚽️ 43' Idd Nado
⚽️ 49' Msindo
⚽️ 53' Abdul Sopu
⚽️ 57' Abdul Sopu
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad