Taifa Stars Kuivaa Morocco Robo Fainali, Kenya Kuivaa Madagascar

Taifa Stars Kuivaa Morocco Robo Fainali, Kenya Kuivaa Madagascar


Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars itachuana na Morocco kwenye robo fainali ya kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN2024 huku Harambee Stars ya Kenya ikitarajiwa kuchuana na Madagascar kwenye hatua hiyo.


Kenya imemalizika kileleni mwa Kundi A baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Zambia wakati Morocco ikimaliza nafasi ya pili baada ya kuilaza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 3-1.


Kinara wa Kundi A (Kenya) atakutana na mshindi wa pili wa Kundi B (Madagascar, wakati mshindi wa pili wa Kundi A (Morocco) akichuana na kinara wa Kundi B (Taifa Stars)


FT: Zambia 🇿🇲 0-1 🇰🇪 Kenya

FT: DR Congo 🇨🇩 1-3 🇲🇦 Morocco


ROBO FAINALI CHAN2024

Tanzania 🇹🇿 vs 🇲🇦 Morocco

Kenya 🇰🇪 vs 🇲🇬 Madagascar

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad