Jean Baleke Atua Rwanda Kumalizana na Rayon Sports

Jean Baleke Atua Rwanda Kumalizana na Rayon Sports


Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC ambaye pia aliwahi kuzichezea Simba SC na Mazembe, Jean Baleke anatarajiwa kujiunga na Rayon Sports ya Rwanda kwa msimu wa 2025/2026.

Baleke aliondoka Yanga baada ya kushindwa kuwavutia benchi la ufundi la klabu hiyo msimu uliopita.

Ikiwa kila kitu kitakuwa sawa, Jean Baleke atasaini mkataba wa mwaka mmoja na Rayon Sports.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad