Nidhamu Mbovu Yamponza Jonathan Sowah, Yanga Waachana na Mpango wa Kumsajili

Nidhamu Mbovu Yamponza Jonathan Sowah, Yanga Waachana na Mpango wa Kumsajili

Taarifa zinaeleza kuwa ni kama Yanga SC wameachana na mpango wa kumsajili mshambuliaji Jonathan Sowah raia wa Ghana kutokana na Changamoto za kinidhamu.

Inaelezwa kuwa walikuwa tayari kumsajili lakini NIDHAMU yake ndio imeleta changamoto.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad