Kocha Rolani Mokwena Aitosa Yanga RASMI, Aibukia Timu Hii Ya Waarabu

Rolani Mokwena Aitosa Yanga RASMI, Aibukia Timu Hii Ya Waarabu


Aliyekuwa kocha wa Wydad Casablanca, Rolani Mokwena ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Nchini Algeria (Ligue 1), MC Alger baada ya kutupiwa virago na Wydad mnamo Mei 20, 2025 akichukua mikoba ya Mtunisia, Khaled Ben Yahiam


Mokwena (38) raia wa Afrika Kusini ambaye amewahi kuinoa Mamelodi Sundowns kwa mafanikio makubwa amesaini mkataba wa miaka miwili na anatarajiwa kuiongoza MC Alger kwenye msimu ujao wa mashindano ikiwemo michuano ya klabu Bingwa Afrika.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad