Kocha Rulani Mokwena Kutua Yanga Baada ya Miloud Hamdi Kuondoka? Dalili Hizi Hapa

 

Kocha Rulani Mokwena Kutua Yanga Baada ya Miloud Hamdi Kuondoka? Dalili Hizi Hapa

RULANI MOKWENA alihusishwa na klabu tatu baada ya kuondoka Wydad Casablanca ,


Wazee wa Usajili kutoka Bongo na Nje ya Bongo walitoa tetesi hizo . Na Vilabu hivyo ni ,


Orlando Pirates ,


Zamalek Sc,


Yanga Sc .


✅Klabu ya Orlando Pirates wakamtangaza Kocha wao mpya (means dili lilishindikana).


✅Zamalek Sc nao taarifa za kuaminika ni tayr washampata kocha wao mpya (ina maana nao dili limeshindikana )


⏳Kocha wa Yanga Sc Miloud Hamdi ametangazwa na Ismaily kama mkurugenzi wa Ufundi ..


✍🏻Ina maana Kwenye Vilabu vitatu ni Yanga Sc pekee ndo kabaki na uwezekano wa kuwa na Rulani Mokwena kama kocha wao mkuu .


✅Kwa hali halisi ya Ukurasa wa Coach Rulani wa Instagram ni dhahiri yupo tayari kuanza maisha mapya na klabu nyingine ambayo haijulikana mpaka sasa .

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad