Klabu ya Chelsea Yatinga Hatua ya Fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia la Klabu

Klabu ya Chelsea Yatinga Hatua ya Fainali ya Michuano ya Kombe la Dunia la Klabu


Klabu ya Chelsea imetinga hatua ya fainali ya michuano ya Kombe la Dunia la klabu inayoendelea nchini Marekani.

Chelsea imetinga hatua hiyo baada ya kuitandika Fluminense mabao 2-0.

Hata hivyo, nusu fainali ya pili itacheza leo kati ya PSG na Real Madrid mchezo utakaochezwa saa 4:00 Usiku, kumtafuta mshindi atakayecheza dhidi ya Chelsea

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad