Kitu cha Muhimu Ambacho Yanga Wamefanya ni Kubakiza Hii Miamba Mitatu

Kitu cha Muhimu Ambacho Yanga Wamefanya ni Kubakiza Hii Miamba Mitatu


Kitu cha muhimu ambacho Yanga wamekifanya ni kuwabakisha hii miamba ndani ya timu yao ….. Huu utatu ulikuwa kiungo muhimu kwenye Engine ya Yanga .

Uwezo wa kupata kwenye msimu mzima ( sio Injury prone ) Energy yao kiwanjani umekuwa muhimili wa Yanga kupora mipira pale Wakipoteza umiliki then wazuri kufanya runs kushambulia box la mpinzani .

Muda na Abuya kwenye kiungo walionesha Comb nzuri sana kwenye michezo miwili ya mwisho ya NBCPL ✅ Pressjng , Runner then physicality yao 🔥

Maxi Nzegeli Mpia mzuri kutokea pembeni , dribbler mzuri + ubora wa kuweka presha kwenye mpira 🔥

Kwenye List yangu ya wachezaji bora uwezi kuwakosa ( Mudathir & Maxi Nzegeli ✅ 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad