Hivi Unatumia Kigezo Gani Kumuacha Aucho na Kumbakisha Ikangalombo?

Hivi Unatumia Kigezo Gani Kumuacha Aucho na Kumbakisha Ikangalombo?



Klabu ya Yanga imethibitisha kuachana na wachezaji watano 5 kuelekea msimu ujao..

Katika list hio yupo.. Aucho, Chama, Mkude, Musonda na Aziz Ki

Binafsi katika list hio nime shingazwa kutoliona jina la Ikangalombo 🙌🏼

Ikiwa Jonathan Ikangalombo atasalia ataacha maswali mengi sana kwa wadau wa mpira kutoka na kiwango chake kuwa Afifu.

Wewe yupi hujamuona kwenye list ya THANK YOU na imeku shangaza?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad