Hatimaye Yanga Wamtangaza Kocha Wake Mkuu Msimu Ujao....

Hatimaye Yanga Wamtangaza Kocha Wake Mkuu Msimu Ujao....


Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu ya Tanzania bara, Klabu ya Young Africans Sc (Yanga) leo Jumatano Julai 23, 2025 imemtangaza Romain Folz kama Kocha Mkuu wake.

Kupitia Ukurasa wa Klabu hiyo wa Instagram, Young Africans imechapisha picha za Folz na kuandika "The Boss has arrived" huku chapisho lingine la Video likimuonesha Folz akijitambulisha kama Kocha Mkuu wa Kikosi hicho kinachojiandaa na msimu ujao wa ligi pamoja na usajili wa wachezaji wapya

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad