Ally Kamwe: Ukipata Picha ya Mpanzu Akifanya Mazoezi Simba Nidai Milioni 10

Ally Kamwe: Ukipata Picha ya Mpanzu Akifanya Mazoezi Simba Nidai Milioni 10


Mwenyekiti wa wasemaji Afrika Ally Kamwe ametoa ahadi ya Million 10 kwa mwandishi Nassib Mkomwa kama atapata picha ya mchezaji Elie Mpanzu mazoezini Simba

Ikumbukwe Elie Mpanzu anahusiswa na kujiunga na Klabu ya Young Africans baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo wa miezi 6 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad