Mobile

Yanga Yatwaa Ubingwa Ligi Kuu, Yamfunga Simba 2 Bila

Yanga Yatwaa Ubingwa Ligi Kuu, Yamfunga Simba 2 Bila


Yanga imetwaa ubingwa kwa kumchapa Mtani mechi zote mbili..


Ubora wa kikosi cha Yanga umewapa ubingwa.. Hongera Yanga kwa ubingwa.. Hongera Simba kwa kumpa Yanga ushindani mpaka dakika ya mwisho


Magoli ya Leo yamefungwa na Pacome na Clement Mzize

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad