Haji Manara: Pacome Atakuwa MVP Msimu Huu Ligi Kuu



Imagine Hakuna Mwandishi wa Manara Tv wala wa Chombo kingine aliyewahi kuniuliza kwa nini unasema Paccme atakuwa MVP wa Msimu huu wa 2024/25?


Hata yeye mwenyewe nilipomwambia kule Avic Town siku moja kabla ya Sherehe za wiki ya Wananchi,sikumuona kama alikuwa amenielewa !!


Yes nilimwambia nakuona unashinda tuzo ya mchezaji bora msimu huu unaokuja, akacheka tu.


Lakini nilishaiona miguu na akili yake kubwa Uwanjan

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad