Mastaa Hawa Kuachwa na SIMBA Dirisha Kubwa la Usajili




MASTAA SIMBA KUFUNGASHIA VILAGO DIRISHA KUBWA LA USAJILI

Kuelekea dirisha kubwa la Usajili Uongozi wa klabu ya Simba Sc Utawaacha wachezaji zaidi ya sita... Wapo wazawa na wakigeni huku sababu ikifahamika kuwa ni Kutoendana na kasi ya klabu yao kwasasa kwa mujibu wa Kocha Fadlu Davies: Baadhi yao ni

❌ Mzamiru Yassin
❌ Omar Omar
❌ Edwin Balua.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad