Muda wa Wachezaji wa Yanga Wanaopenda Starehe Kujitafakari

Muda wa wachezaji wa Yanga wanaopenda starehe kujitafakari


Muda wa wachezaji wa Yanga wanaopenda starehe kujitafakari

Baadhi ya Wachezaji wa Yanga wanaopenda starehe kuanza kufikiria maisha mapya chini ya kocha Ramovic, Kocha huyu mpya amesema yeye katika muda ataokuwa Timu ya Yanga hata endekeza wachezaji wanaopenda starehe

Hiyo imekuja baada ya kuwepo tetesi kuwa baadhi ya wachezaji katika kipindi cha Kocha Gamondi walikuwa wakipenda starehe za usiku na kunywa pombe

Baadhi ya Picha na Video zilishawahi rushwa mtandaoni zikionesha baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiwa wakinywa pombe na kuvuta shisha


Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Interesting article! Funny enough, a colleague of mine who's a government worker and active user of the GOGPayslip of Ghana was just telling me a similar story yesterday. He and a few other gogepayslipgh.com employees play football after work and are huge Yanga fans. He mentioned how the new coach's strict stance on nightlife and discipline is shaking things up. We laughed about how some of the players might struggle to adapt—but also agreed it's a good move for the team’s long-term success. Discipline really does shape both careers and football teams!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad