Kocha wa Simba wa Zamani Patrick Aussems 'Uchebe' Arudi Tanzania



Kocha wa zamani wa Simba SC Patrick Aussems “Uchebe” (59) Raia was Ubelgiji ametangazwa kuwa Kocha mpya wa Singida Black Stars kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Aussems ambaye ana uzoefu wa soka la Afrika Mashariki aliifundisha Simba SC msimu wa 2018/19 na kisha kutimkia Black Leopards ya Afrika Kusini.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.