Kikosi cha Yanga vs Namungo Leo Tarehe 8 March 2024

Kikosi cha Yanga vs Namungo Leo Tarehe 8 March 2024

Kikosi cha Yanga vs Namungo Leo Tarehe 8 March 2024

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanashuka Dimbani muda mchache kutoka sasa kuwakabili wauaji wa Kusini, Timu ya Namungo FC.

Yanga wanaingia katika mchezo huo wakiwa na matokeo mazuri zaidi baada ya kushinda michezo yao miwili ya Ligi waliyocheza kwa ushindi mnono wa mabao 5-0 dhidi ya KMC na JKT Tanzania.

Yanga inahitaji alama tatu kuhakikisha inarudi kileleni mwa msimamo wa Ligi baada ya kushushwa na Mashujaa FC siku chache zilizopita.

Namungo waliopo chini ya Kaze wanahitaji ushindi baada ya kupoteza mchezo dhidi ya JKT Tanzania kisha wakasuluhu na KMC.

Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachoanza mchezo wa leo;

Predicted Lineup for Young Africans

  1. Diarra
  2. Yao
  3. Lomalisa
  4. Mwamnyeto
  5. Bacca
  6. D. Job
  7. Maxi
  8. Aucho
  9. Mzize
  10. Aziz KI
  11. Pacome

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.