Uchambuzi Mechi ya Yanga na Tabora United, Matumizi Makubwa ya Nguvu Yalitawala


Uchambuzi Mechi ya Yanga na Tabora United, Matumizi Makubwa ya Nguvu Yalitawala


Mchezo ulikuwa na matumizi makubwa ya nguvu . Takwimu zinadhibitisha hilo , kulikuwa na FAUL nyingi sana : Tabora walikuwa vizuri sana kwenye kiungo walicheza kwa utulivu mkubwa then walizuia kwa ufanisi mzuri .

Miguel Gamondi na mabadiliko ya kikosi kutoka mchezo uliopita dhidi ya Medeama na huu : 2-1-5-2 wakianza mpira nyuma (Sure mbele ya Job na Bacca huku Kibwana na Kibabage wanasoge juu ….. dhumuni lilikuwa ni nini ?

Kibabage na Kibwana wakisogea juu maana yake Yanga wanakuwa na namba 10 wawili ndani Maxi na Aziz then Moloko anakuwa pembeni zaidi , Yanga waliweza kuifungua Tabora vizuri sana kupitia pembeni ya uwanja “Flanks” : Nafikiri Yanga walikosa pasi za kuifungua Tabora “Penetration Pass” mda mwingi walitumia mipira ilikufa na Cross .

Tabora walicheza vizuri sana , pasia mpira kwa usahihi , utulivu kwenye mpira then walikuwa tayari kwenye mapambano ya 50/50 : Nafikiri Tabora walikosa ufundi wa kuifungua defense ya Yanga , hawakuwa na utulivu na maamuzi kwenye nusu ya mpinzani .

NOTE:

Aziz Ki magoli 10 mpaka sasa kwenye NBCPL : Msimu bora 🔥

Kibabage ameboresha sana uchezaji wake 👏 Kasi , Utulivu na maamuzi .

Yule namba 8 wa Tabora 🔥 Najim ✅

FT: Tabora United 0-1 Yanga .

By Kelvinrabson_

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.