Timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania Yatinga WAFCON


Twiga Stars Yatinga WAFCON
Twiga Stars Yatinga WAFCON

𝐓𝐖𝐈𝐆𝐀 𝐒𝐓𝐀𝐑𝐒 𝐇𝐈𝐘𝐎𝐎 𝐖𝐀𝐅𝐂𝐎𝐍

FT| 🇹🇬 TOGO 2-0 TANZANIA 🇹🇿 [agg 2-3]

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imefuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa upande wa soka la Wanawake WAFCON 2024 baada ya ushindi wa jumla wa magoli 3-2 dhidi ya Togo.

Twiga Stars ilipata ushindi wa magoli 3-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani [Tanzania] kabla ya leo kupoteza ugenini [Togo] kwa kufungwa 2-0.

Twiga Stars imefuzu WAFCON 2024 ikiwa ni siku chache baada ya Taifa Stars pia kufuzu AFCON 2023. Kwa mara ya kwanza Tanzania itawakilishwa na timu mbili kwenye mashindano makubwa ya soka barani Afrika.

𝐇𝐎𝐍𝐆𝐄𝐑𝐄𝐍𝐈 𝐒𝐀𝐍𝐀 𝐃𝐀𝐃𝐀 𝐙𝐄𝐓𝐔, 𝐁𝐄𝐍𝐂𝐇𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐅𝐔𝐍𝐃𝐈, 𝐓𝐅𝐅 𝐧𝐚 𝐖𝐀𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐖𝐎𝐓𝐄 👊🏿

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.