Mchambuzi: Yanga Hawakustahili Kupata Hata Alama Moja Kwa Al Ahly

 

Mchambuzi: Yanga Hawakustahili Kupata Hata Alama Moja Kwa Al Ahly
 Mchambuzi: Yanga Hawakustahili Kupata Hata Alama Moja Kwa Al Ahly

Mchambuzi wa mpira wa miguu Master Tindwa amesema, Yanga hawakustahili hata kupata alama moja dhidi ya Al Ahly.


Mchambuzi huyo amesema Yanga walipaswa kufungwa na si matokeo ya sare waliyoyapata jana kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar.


“Yanga hawakustahili kupata hata hii alama moja ,Al Ahly walistahili kushinda kwa sababu walitawala mchezo hasa kipindi cha pili na leo Nyota wa mchezo ni Djigui Diarra ,saves zake tatu ndio ambazo zimewaweka Yanga mchezoni“


“Mimi silaumu kwa sababu hii inaonesha mambo mawili, Al Ahly wameonesha ukubwa wao na Yanga wameonesha udogo wao kwenye mashindano haya ya kimataifa.“

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.