Al Ahly Waliwazidi Yanga kwa Ubora - Mchambuzi Master Tindwa

 

Al Ahly Waliwazidi Yanga kwa Ubora - Mchambuzi Master Tindwa
Yanga Vs Al Ahly 

Mchambuzi wa soka Bongo Master Tindwa amesema, Al Ahly waliwazidi Yanga SC kwa ubora na ndio maana kulikuwa na utofauti mkubwa kwenye mechi hiyo ya Klabu Bingwa iliyochezwa jana Desemba 2, 2023.

Alisema Al Ahly wachezaji wao ni bora kulilo wa Yanga.

“Al Ahly wana quality ya mchezaji mmoja mmoja, tunaposema Yanga ina wachezaji wenye quality unawalinganisha na nani?"

“Mbinu za mwalimu Gamondi ukilinganisha na Al Ahly ni tofauti kabisa ,kipindi cha pili Al Ahly wametawala mchezo kiasi kwamba unajiuliza Yanga watapata goli ? Na kama watapata atafunga nani ? Bahati nzuri wamepata goli lakini ni la uwezo binafsi”alisema Master Tindwa kuhusu Yanga ambao wanashika mkia kwenye kundi lao wakiwa na alama moja kwenye mechi mbili hadi sasa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.