Kumbe Thomas Ulimwengu Alizichomolea Mbavuni Simba na Yanga, Mwenyewe Afunguka Sababu

Kumbe Thomas Ulimwengu Alizichomolea Mbavuni Simba na Yanga, Mwenyewe Afunguka Sababu

Kumbe Thomas Ulimwengu Alizichomolea Mbavuni Simba na Yanga, Mwenyewe Afunguka Sababu

Mshambuliaji wa Singida Fountain Gate, Thomas Ulimwengu, kupitia kwenye interview na television ya Mtandaoni ya Singida Fountain Gate, amewefunguka kuhusu sababu ya kujiunga na timu hiyo badala ya kwenda timu kubwa hapa nchini.


Ulimwengu (30) amejiunga na Singida FG mwanzo mwa mzimu huu akitokea TP Mazembe ya Congo DR ambayo ameitumikia kwa mafanikio makubwa.


“Nilizikataa ili nijiunge na Singida FG kwa sababu nilipokuwa nje nilikuwa naifuatilia na kuiona timu inayokua na kusogea juu na ndoto yangu ilikuwa kucheza klabu hiyo, ndiyo mana leo nimekuwa hapa,” amesema Ulimwengu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.