Kocha Sven Arusha Kijembe Cha Mafumbo Kuashiria Kurudi Timu ya SIMBA

 

Kocha Sven Arusha Kijembe Cha Mafumbo Kuashiria Kurudi Timu ya SIMBA

Aliyewahi kuwa kocha wa Simba ameandika maneno kwenye Insta Story yake ikionesha kama kuna dalili za kurejea Msimbazi.


Sven Vandenbroeck ameandika "Nobody but me" akimaanisha hakuna mwingine zaidi yake.


Maneno hayo yanakuja wakati Simba inatafuta kocha, ambapo Sven ni mmoja wa wanaotajwa kuwa huenda akakabidhiwa mikoba hiyo.


Vipi mwananyulasi mwamba arejee?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.