Klabu Zilizokusanya Alama Nyingi CAF Msimu huu

Klabu Zilizokusanya Alama Nyingi CAF Msimu huu


Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) hivi karibuni limetoa orosha ya vilabu vinavyoongoza kwa ubora barani humo kwa mwaka 2023.

Watani wa jadi nchini Tanzania Simba na Yanga wameonekana kuongeza alama huku kila mmoja akipanda katika viwango vya ubora CAF.

Simba ambayo ilikuwa nafasi ya 11 msimu uliopita, imepanda mpaka nafasi ya 9 huku Yanga ikitoka nafasi ya 78 mpaka nafasi ya 18 Barani Afrika, hii inatokana na alama ambazo kila klabu imekusanaya kwa misimu mitano mfululizo.

Timu zilizokusanya points nyingi zaidi kwenye michuano ya CAF 22/23.


1. Alama 30 — Al Ahly


2. Alama 25 — Wydad Casablanca


2. Alama 25 — USM Alger


3. Alama 20 — Young Africans


4. Alama 20 — Mamelodi Sundowns


5. Alama 20 — Esperance.


◉ Muda kama huu msimu uliopita Young Africans SC walikuwa wa (78) kwenye viwango vya CAF wakiwa na points 0.5.


◉ Baada ya msimu (1) Yanga wanesogea kutoka nafasi ya (78) hadi (18) wakiwa na points (20). Klabu ya Simba SC imesogea kutoka nafasi ya (10) hadi (9) wakiwa na jumla ya points (35). Anayeongoza Al Ahly yeye ana jumla ya points (83).

Viwango vya (CAF) hupangwa kwa kuzingatia performance ya timu husika ndani ya misimu (5) kwenye michuano ya (CAF).

◉ Simba SC wamekusanya points (35) katika misimu hiyo (5) na kukaa nafasi ya (9). Huku Yanga wakikusanya points (20) katika msimu (1) 22/23 pekee na kukaa nafasi ya (18).

Misimu (4) iliyopita Young Africans hawakufanya vizuri kwenye michuano ya CAF, hawakupata points that's why wanabaki na points (20) walizozikusanya 22/23.


◉ Baada ya kupata points (20) 22/23, kwa mara ya kwanza Young Africans wamezipita klabu zifuatazo kwenye viwango vya CAF.

ASEC Mimosas


Etoile du Sahel


ES Setif


Coton Sports


Marumo Gallants


Kaizer Chiefs


AS Vita


Al Merriekh


Al Masry


US Monastir


FAR RABAT


Enyimba


MS Alger.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.