Haji Manara Aomba Hela za Mama Samia za Magoli ya Yanga Leo Wapewe Simba

Published from Blogger Prime Android App

Kwa heshma ya Mpira na UTU tulionao Wananchi na kwa mapenzi mema kwa nchi, Mh Rais Wa Taifa hili zuri la Tanzania Kiongozi na Amiri wetu mkuu Mama yetu @samia_suluhu_hassan ,tunakuomba Wanayanga bila kushurutishwa na Mtu ( ila mimi bhana hadi hapo sijaandika ombi lenyewe)

Ok:: Zile Twenty zetu za leo Wapewe Makolo wakalipie deni wanalodaiwa na Wachezaji wao, Imagine leo Onyango kaniomba Vocha ya af tatu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.