![Published from Blogger Prime Android App](https://firebasestorage.googleapis.com/v0/b/bloggerprime.appspot.com/o/images%2F105004891544165574783%2Fhajismanara-1660477620827.jpg?alt=media&token=0c82901d-53eb-4a23-8ce0-646f5107f9e8)
Kwa heshma ya Mpira na UTU tulionao Wananchi na kwa mapenzi mema kwa nchi, Mh Rais Wa Taifa hili zuri la Tanzania Kiongozi na Amiri wetu mkuu Mama yetu @samia_suluhu_hassan ,tunakuomba Wanayanga bila kushurutishwa na Mtu ( ila mimi bhana hadi hapo sijaandika ombi lenyewe)
Ok:: Zile Twenty zetu za leo Wapewe Makolo wakalipie deni wanalodaiwa na Wachezaji wao, Imagine leo Onyango kaniomba Vocha ya af tatu.