TIMU ya Wanawake ya JKT Queens Yaifunga SIMBA na Kutwaa Kombe

TIMU ya Wanawake ya JKT Queens Yaifunga SIMBA na Kutwaa Kombe


TIMU ya Wanawake ya JKT Queens imefanikiwa kutetea ubingwa wa Ngao ya Jamii 2025 kwa Wanawake kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Simba Queens kwenye fainali katika dimba la KMC Complex.


FT: JKT Queens 2-1 Simba Queens

⚽ 12’ Winfrida Gerald

⚽ 18’ Asha Omary (OG)

⚽ 90+4’ Zawadi Usanase


Kwenye mchezo wa mapema, Yanga Princes iliibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Mashujaa Queens kwenye mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad