Mwamba Dimitar Ameanza Kazi Kwa Kuichapa Al Hilal

Mwamba Dimitar Ameanza Kazi Kwa Kuichapa Al Hilal


Meneja mpya wa Simba Sc, Dimitar Pantev ameanza rasmi majukumu yake klabuni hapo kwa kuiongoza timu hiyo kushinda 2-1 dhidi ya Al Hilal kwenye mchezo wa kirafiki katika dimba la Meja Jenerali Isamuhyo.


FT: Simba SC 🇹🇿 2-1 🇸🇩 Al Hilal Omduman.

⚽️ Jean Ahoua

⚽️ Jonathan Sowah

⚽ Adama Coulibaly

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad