Mashujaa na JKT Tanzania Hakuna Mbabe, Mbeya City Waanza Vizuri Ligi Kuu

Mashujaa na JKT Tanzania Hakuna Mbabe, Mbeya City Waanza Vizuri Ligi Kuu


Dabi ya Maafande iliyowakutanisha Wazee wa mapigo na Mwendo, Mashujaa Fc dhidi ya Wazee wa kipigo cha Kizalendo, JKT Tanzania imemalizika kwa sare ya 1-1 katika dimba la Lake Tanganyika, Kigoma kwenye mchezo wa Ligi Kuu bara.


Katika mchezo wa mapema, The Purple Nation, Mbeya City wameibuka na ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Fountain Gate Fc katika dimba la Tanzanite Kwaraa, Babati.


FT: Mashujaa Fc 1-1 JKT Tanzania

⚽ 79’ Mundhir Vuai

⚽ 87’ Paul Peter


FT: Fountain Gate 0-1 Mbeya City

⚽ 56’ Kyombo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad