Gundu Lamtoka Marcus Rashford, Aanza Kuonyesha Makali Barcelona, Atupia

Marcus Rashford Aanza Kuonyesha Makali Barcelona, Atupia


Marcus Rashford amefunga magoli mawili wakati Barcelona ikiilaza Newcastle United 2-1 katika St. James’ Park huku Erling Haaland akifunga bao lake la 50 kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Man City ikiilaza Napoli 2-0

FT: Man City 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 2-0 🇮🇹 Napoli

⚽ 56’ Haaland

⚽ 65’ Doku

🟥 21’ Di Lorenzo


FT: Newcastle 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1-2 🇪🇸 Barcelona

⚽ 90’ Gordon

⚽ 58’ Rashford

⚽ 68’ Rashford


FT: Sporting CP 🇵🇹 4-1 🇰🇿 Kairat Almaty


FT: Eintracht Frankfurt 🇩🇪 5-1 🇹🇷 Galatasaray


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad