TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imeungana na Kenya kwenye mlango wa kutokea CHAN

TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imeungana na Kenya kwenye mlango wa kutokea CHAN


TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imeungana na Kenya kwenye mlango wa kutokea kwenye michuano ya CHAN2024 kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Morocco kwenye robo fainali ya michuano hiyo katika dimba la Benjamin Mkapa.

Morocco imeungana na Madagascar kwenye nusu fainali ya michuano hiyo, Madagascar ikifuzu kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya wenyeji wenza, Kenya kwenye robo fainali.

FT: Tanzania 🇹🇿 0-1 🇲🇦 Morocco

⚽ 65' Lamlioui

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad