RASMI: Simba na Neo Maema wa Mamelody ni Deal Done

RASMI: Simba na Neo Maema wa Mamelody ni Deal Done


Simba SC, imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Neo Maema akitokea Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Maema amesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine, na anatarajiwa kuongeza ubunifu na nguvu mpya katika safu ya ushambuliaji ya wekundu wa Msimbazi kuelekea msimu mpya.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad