Mobile

Timu ya APR Yabadili Gia Angani, Sasa Wanamtaka Simba Badala ya Yanga....

Timu ya APR Yabadili Gia Angani, Sasa Wanamtaka Simba Badala ya Yanga....


Timu ya APR imeialika rasmi Klabu ya Simba SC kwenye mchezo wa kirafiki wakuzindua uwanja wa Amahoro.

Awali APR waliialika timu ya Yanga kuelekea kwenye uzinduzi wa uwanja huo.

Mchezo huo anatarajiwa kupigwa kati ya Tarehe 1 au 3 ya mwezi Agosti.

NB: WANATAKA WAWAFUNGE NA WAO

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad