Simba Wasijaribu Kufanya Hili Kosa Kamwe

Simba Wasijaribu Kufanya Hili Kosa Kamwe


Kutoka kikosi cha kwanza cha Simba SC, wachezaji 5 wamevivutia vilabu tofauti tofauti kutoka Algeria, Morocco na hata hapa Tanzania 🇩🇿🇲🇦🇹🇿:

🔴Jean Charles Ahoua ➡️ JS Kabylie

🔴 Steven Mukwala ➡️ JS Kabylie

🔴 Lionel Ateba ➡️ Maghreb de Fès

🔴 Che Malone ➡️ USM Alger

🔴 Kibu Denis ➡️ Ofa kutoka Algeria (akiwa kwenye majaribio)

⚠️ Mohamed Hussein ➡️ Anahusishwa na Yanga SC


Kutoka benchi la Simba:

🔁 Balua amejiunga na klabu ya Cyprus kwa mkopo

✅ Aishi Manula sasa ni mchezaji wa Azam FC


🗣️ TAFSIRI YAKE?

Si kawaida kuona "wachezaji wabovu" wakiwindwa na timu kubwa kama hizi. Simba SC mnapaswa kuwa makini — hizi ni Future Caf material players, wasiachwe kirahisi!

Timu kubwa duniani huondoa wachezaji wao tu pale mbadala sahihi wameshatengenezwa. Huu ni wakati wa kujenga, si kuvunja kikosi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad