Klabu ya AZAM Wanamtaka Fabrice Luamba Ngoma

Klabu ya AZAM Wanamtaka Fabrice Luamba Ngoma


𝗧𝗥𝗔𝗡𝗦𝗙𝗘𝗥 𝗡𝗘𝗪𝗦 : LUAMBA NGOMA➡️ AZAM FC

Klabu ya AZAM FC wameonesha kuhitaji huduma ya kiungo wa kati FABRICE LUAMBA NGOMA ambapo Kocha ibenge amependekeza jina lake .


AZAM FC wanajipanga kuwasilisha OFA kwenye uongozi wa mchezaji kuona kama kuna uwezekano wa kupata huduma yake.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad