Joyce Lomalisa Kurejea Ligi Kuu Tanzania Kwa Kishindo

Joyce Lomalisa Kurejea Ligi Kuu Tanzania Kwa Kishindo


Mlinzi wa Zamani wa Yanga Anayekipiga kwa sasa Ligi Kuu ya Angola 🇦🇴 Joyce Lomalisa Mutambala raia wa Congo 🇨🇩Yuko Kwenye Hatua za Mwisho Kumalizana Na Team Yake Mpya ya Ligi Kuu Ya NBC

Hata Hivyo Mchezaji Huyo Ana Ofa Mbalimbali Kutoka Tanzania kwenye vilabu kama Azam na Singida Black Star🛜Anything can Happen😀

NB:Nyota Huyo Amekwisha Wasili Tanzania tokea Mwezi June

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad