AZAM FC Wavunja Benki, Wampa Fei Toto Mkataba Mpya Mshahara Milioni 70 Kwa Mwezi

AZAM FC Wavunja Benki, Wampa Fei Toto Mkataba Mpya Mshahara Milioni 70 Kwa Mwezi

AZAM FC Wavunja Benki, Wampa Fei Toto Mkataba Mpya Mshahara Milioni 70 Kwa Mwezi

Azam wameshawasilisha mkataba mpya wa kufuru wa miaka 3 'Bumper Contract' kwa kiungo wao Feisal Salum.

  • Mshahara, Milioni 70 kwa mwezi (Milioni 50 take home, Milioni 20 NSSF)
  • Signing-Fee, Dollar 200,000 kila mwaka kwa muda wa miaka 3 (Jumla Dola 600,000)
  • Ubalozi kwenye Makampuni ya Azam, ambapo atapokea Milioni 200 kila mwaka.
  • Nyumba Masaki na Gari mpya.

Package yote hiyo kwa muda wa miaka 3 inafika Shilingi Bilioni 5

Anasubiriwa Feisal tu kufanya maamuzi juu ya Contract Proposal hiyo na uwezekano wa kuusaini mkataba huo ni mkubwa.

Imeandikwa Haatimabdul mchambuzi kutoka WASAFI MEDIA

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad