Ahmed Ally: Tumemuacha Kisa Kiwango chake Kibovu

Ahmed Ally: Tumemuacha Kisa Kiwango chake Kibovu


Afisa habari wa timu ya Simba Ahmed Ally anasema wameamua kuachana na beki wa kushoto Valentin 

Nouma kutokana na kiwango chake kuwa chini.

''Bado hatujatoa ripoti ya ni wachezaji gani ambao tumewaacha ila kutokana na wao tayari wameaga kwenye mitandao yao ya kijamii hatuna budi kusema,

Kuna wachezzji wengine wameondoka mikataba yao kumalizika na wengine wameondoka kwasababu hatujarizishwa na viwango vyao,

Valentin Nouma hatuijarizishwa na kiwango chake na tumeamua kumuacha,

Tunahitaji Beki ambaye anauwezo wa kuja kumsaidia Mohamed Hussein ambaye ni mchezaji mwenye kiwango bora kwenye kikosi ca Simba sc.'' Ahmed

WEWE UNA MAONI GANI?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad