Mobile

Wanayanga Wamchangia Ally Kamwe Faini yake ya Milioni 5

Wanayanga Wamchangia Ally Kamwe Faini yake ya Milioni 5


 Wanachama na Mashabikiwa Yanga wamechanga kiasi cha shilingi Milioni 5 kwa ajili ya faini ambayo ametakiwa kulipa afisa habari wa Yanga Ally Kamwe na Kamati ya Maadili ya TFF.

Ally Kamwe leo amekabidhiwa kiasi hicho cha Milioni 5 na laki 2 kwaajili ya kwenda kulipa faini hiyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad