Mobile

Fei Toto Adaiwa Kutaka Mataji, PESA Sio Kipaumbele Kwake Katika usajili

Fei Toto Adaiwa Kutaka Mataji, PESA Sio Kipaumbele Kwake Katika usajili


EXCLUSIVE🎙Licha ya AZAM FC Kuweka M900 Na Mshahara wa M30 Kwa Mwezi Kwa Maestro FEISAL SALUM Lakini Mtaalamu Huyo Amegoma Kusaini Mkataba Mpya, Ikielezwa Kwasasa PESA sio Kipaumbele Kikubwa Kwake Bali Anahitaji Kuwa sehemu Ambayo Kila Msimu Atabeba Mataji Na Kuvaa Medali."

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad