Shabiki Amvaa Chama Bao 5 za Yanga; "Bora uondoke tu"

Shabiki amvaa Chama bao 5 za Yanga; "Bora uondoke tu"

 Shabiki amvaa Chama bao 5 za Yanga; "Bora uondoke tu"

Kipigo cha mabao 5-1 ilichokipata Simba SC katika mchezo wake dhidi ya Yanga SC kimeendelea kuwavuruga mashabiki wa Simba baada ya shabiki (Mo Latino90) kumvaa kiungo wao mshambuliaji raia wa Zambia, Clatous Chama kwenye mitandao ya kijamii.


Shabiki yule amemtupia lawama kiungo huyo kuwa amekuwa akiwahujumu hivyo hawamtaki na ikibidi aondoke katika dirisha dogo la usajili.


Shabiki huyo amemvaa Chama kwa kuandika maneno ambayo Chama alienda katika kurasa ya shabiki yule na kuandika; "sawa".

Shabiki Amvaa Chama Bao 5 za Yanga; "Bora uondoke tu"


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.