Amos Makala awatuliza mashabiki Simba SC

Soka la Bongo

Baada ya Simba SC kuchezea kipigo cha mabao 5-1 kutoka kwa Young Africans, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla amewataka Mashabiki na Wanachama wa Simba SC wasahau matokeo hayo kwani hayajabadili chochote kwenye historia ya vipigo baina ya timu hizo.

Makalla ambaye ni shabiki wa Simba SC ameyasema hayo akifafanua kufungwa huko hakujapindua historia yoyote ya vipigo walivyowahi kuichapa Young Africans, ikiwemo 5-0 na 6-0 hivyo wasiwe na wasiwasi na waendelee na kazi kama kawaida bila ya mawazo yoyote.

“Mimi niwashauri kuwa habari za jumapili za kufungwa wazisahau waendelee kuchapa kazi kama kawaida, sababu matokeo hayo hayajapindua historia yoyote maana Young Africans ilishafungwa mabao 6-0, mabao 5-0, kwa hiyo wala wasipate tabu, iko hivyo,” amesema Makalla.

Kiongozi huyo amekumbushia vipigo hivyo vilivyotokea mwaka 1977 ambapo Simba SC ilishinda kwa mabao 6-0 huku mchezaji wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni akifunga mabao matatu, kipigo kingine ni cha mwaka 2012, ambapo Simba SC ilishinda mabao 5-0.


Hata hivyo, Mashabiki na Wanachama wa Young Africans wamekuwa wakitamba kulipiza kisasi baada ya ushindi wao huo wa juzi Jumapili (Novemba 05) wa mabao 5-1 uliopatikana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es salaam.




Kuwa wa kwanza kutoa maoni



Toa maoni yako

Does blood sugar often rise? It is useful for you to know this
Blood sugar is always normal!
|
Sponsored
by Taboola
Unaweza kuwapenda watu
Fei Toto afunguka ishu ya kurudi Yanga -2


15
mwanaspoti.co.tz


Simbachawene: Kama 5-1 Imetokana Na Rushwa, Simba Mkaripoti Takukuru – Video


7
3h
globalpublishers.co.tz


Julio, Pawasa waanika udhaifu Simba SC


3
dar24.com


Ahmed Ally: Tumebaki na maumivu ya kudumu


17
2d
dar24.com


Habari mpya
Simbachawene: Kama 5-1 Imetokana Na Rushwa, Simba Mkaripoti Takukuru – Video


7
3h
globalpublishers.co.tz


Kazi imeanza Simba Kocha mpya atoa dira

4h
mwanaspoti.co.tz


Makubwa! ISIHACK adai alimfumania mkewe SABRA akiwa UCHI akiongea na mwanaume, masifia QUEEN DARLEEN


1
3d
udakuspecially.com


Yanayochangia wasichana kujirahisisha kwa walimu


1
mwananchi.co.tz


A simple way to naturally clean blood vessels
Chief Cardiologist of Tanzania
Prefabricated Homes Cost Might Be Cheaper Than Ever!
Pefabricated Homes | search ads
by TaboolaSponsored Links



1



Tujadili swala hili


 Unmute
 Unmute

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.