Simba Kuwakacha Yanga Ngao ya Jamiii, Yadaiwa Kuomba Kutocheza



Inaelezwa Simba SC pia imefikiria kwamba matokeo ya mchezo huo ikitokea hayatokuwa kwenye upande wao (kufungwa) huenda ikawasumbua kisaikolojia kuelekea mchezo wenye maslahi ya kitaifa wa kuwania kufuzu makundi CAFCL.

Simba pia wamedai hiyo ratiba iliyobadilika imebadilika wakati ambao wanazo program nyingine za maandalizi kwani ratiba ya awali TFF ilionesha michezo ya Ngao ya Jamii ni Septemba 11-14, 2025.

Simba wana hoja au hawana?


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad