Mchezaji Ibrahim Bacca Apenya Kikosi Bora CHAN

Mchezaji Ibrahim Bacca Apenya Kikosi Bora CHAN


Hiki ndicho kikosi bora cha Msimu huu katika michuano ya CHAN kwa mujibu wa Sofascore kulingana na viwango vyao walivyovionesha katika michuano hiyo.

Tanzania imetoa mchezaji mmoja ambaye ni Ibrahim Hamadi Bacca, beki wa kati wa taifa stars na klabu ya Yanga SC.

Tanzania inacho cha kujivunia katika hili.

Hongera Tanzania, Hongera Bacca

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad