Hans Rafael; Fadlu Anakazi ya Kufanya, La Sivyo Yanga Watajipigia Tena


Siku zote ushindi huwa unafunika makosa ila Fadlu bado ana kazi kubwa ya kufanya.

Ni kweli Gör mahia wamepoteza mechi ila kuna nyakati waliwageuza Simba watoto wadogo.

Kuna Muda Simba wali switch-off nakuweka O pressure kwenye mpira.

Kama Gör wanaweza kupiga pasi 15-18 bila pressure yeyote vipi tarehe 16 dhidi ya Yanga?

Kama alivyosema Fadlu huu ni mwaka wa mafanikio…..nadhani hili atalifanyia kazi haraka sana.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad