Hakuna Kazi Kubwa Kwa Sasa Kama Kumtetea Simba

Hakuna Kazi Kubwa Kwa Sasa Kama Kumtetea Simba

Mnyama, Simba Sc ameendelea kunyanyasika kwa mara ya sita mbele ya Wananchi kwenye Dabi ya Kariakoo huku Young Africans Sc wakitwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa mara ya 9 kihistoria kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya mtani wake.


FT: Yanga Sc 1-0 Simba Sc

⚽ 54’ Pacome

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad